Blog hii inahusu taarifa mbali mbali za kisiasa,michezo,elimu,technolojia na matangazo mbali mbali ya biashara
Jumatano, 24 Januari 2018
SANCHEZ ASAINI KUICHEZEA MAN UNITED MIAKA MINNE NA NUSU
Hatimae aliyekuwa nyota wa klabu ya arsenal kwa miaka minne Alexis Sanchez amesaini kuichezea Man United kwa miaka minne imeripotiwa. Habari kutoka ndani ya klabu ya manchester united zinasema Sanchez amejiunga na timu hiyo kwa kufanya mabadilishano na arsenal waliyomchukua mhikitaryan kutoka mancher united.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)




