Sometimes youneed time to clear your head after a long day of struggling. Here we go.............................................
KADASULA BLOGSPOT.COM
Blog hii inahusu taarifa mbali mbali za kisiasa,michezo,elimu,technolojia na matangazo mbali mbali ya biashara
Alhamisi, 27 Mei 2021
Jumatano, 24 Januari 2018
SANCHEZ ASAINI KUICHEZEA MAN UNITED MIAKA MINNE NA NUSU
Hatimae aliyekuwa nyota wa klabu ya arsenal kwa miaka minne Alexis Sanchez amesaini kuichezea Man United kwa miaka minne imeripotiwa. Habari kutoka ndani ya klabu ya manchester united zinasema Sanchez amejiunga na timu hiyo kwa kufanya mabadilishano na arsenal waliyomchukua mhikitaryan kutoka mancher united.
Jumanne, 31 Oktoba 2017
VERY IMPORTANT TO READ!!!!
VNaomba radhi kwa wapenzi wasomaji wa blog hii kwa kutokutoa machapisho kwa muda mrefu sasa. Hii ni kutokana na madiliko kidogo ya majukumu na muda wa kutoa machapisho hayo. Lakini niwatoe wasi wasi na kuwaahid kuwa tutakuwa pamoja ktk kuhakikisha machapisho yanawekwa na kukufikieni kwa wakati. Asanteni sana .......Blogger Kadasula
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Jumamosi, 1 Oktoba 2016
MANENO YA UTANI YA ZITTO KABWE KUSHANGILIA GOLI LA MKONO LA YANGA
October 1,kulichezwa mechi ya watani wa jadi kati Simba na Yanga na timu hizo kutoka sare ya kufungana mabao 1-1. Kufuatia goli la Yanga lililofungwa na mchezaji Hamis Tambwe kusemekana limefungwa kwa mkono, mh. Zitto Kabwe akatumia account yake ya twitter kumwandikia Freeman Mbowe ambaye ni mshabiki wa Yanga "Mwenyekiti wangu Freeman Aikael Mbowe umetambua goli la mkono lakin umeshindwa kumtambua Lipumba km mwenyekiti CUF".
MECHI YA WATANI WA JADI
Mechi ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga imemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya mabao 1-1. Yanga ilikuwa timu ya kwanza kujipatia bao lake la kuongoza dakika ya 26 ya mchezo kupitia mchezaji wake mahiri Hamis Tambwe.Bao hilo lilileta vurugu kwa mashabiki wa Simba hadi kupelekea kung'oa viti na kuvitupa uwanjani,,,katika vurugu hizo ilipekea mchezaji nahodha wa Simba Jonas Mkude kupigwa kadi nyekundu. Simba iliendelea kucheza ikiwa pungufu hadi dakika ya 87 ya mchezo,mshambuliaji Kichuya wa Simba alivyosawazishia timu yake kwa goli safi la mpira wa kona ulioingia moja kwa moja wavuni na kufanya matokeo kuwa 1-1.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)












