October 1,kulichezwa mechi ya watani wa jadi kati Simba na Yanga na timu hizo kutoka sare ya kufungana mabao 1-1. Kufuatia goli la Yanga lililofungwa na mchezaji Hamis Tambwe kusemekana limefungwa kwa mkono, mh. Zitto Kabwe akatumia account yake ya twitter kumwandikia Freeman Mbowe ambaye ni mshabiki wa Yanga "Mwenyekiti wangu Freeman Aikael Mbowe umetambua goli la mkono lakin umeshindwa kumtambua Lipumba km mwenyekiti CUF".







Hakuna maoni:
Chapisha Maoni